Kampuni ya isatech Water Watengenezaji wa mita za maji za kutumia LUKU kwa ajili ya matumizi mbali mbali kama Water Kiosk kwa matumizi ya community , Domestic meter kwa makazi na meter kubwa kwa ajili ya viwanda na taasisi.
Katika mazungumzo yao Balozi wa Tanzania nchini Ujerumani Dkt. Abdallah Possi ameelea kufurahishwa na technolojia hiyo ambayo amesema inaweza kusaidia ukusanyaji wa mapato hususani maeneo ya vijijini ambako miundombinu ya maji bado ni tatizo.
Mhe Balozi Dr Possi ameshauri kampuni ya iSatech Water watumie fursa iliyopo na kuingia katika soko la Tanzania .
